read
news & Articles

Tumepoteza mbele ya Mbeya City
Kikosi chetu kimepoteza mechi ya kwanza katika msimu huu wa Ligi Kuu ya NBC kwa bao moja dhidi ya Mbeya City uliopigwa katika uwanja wa

Hawa hapa nyota watakaotuwakilisha dhidi ya Mbeya City
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka kwenye Uwanja wa Sokoine kuikabili Mbeya City katika mtanange wa Ligi Kuu ya NBC ambao tunaamini utakuwa mgumu

Tupo kamili kuwavaa Mbeya City leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Sokoine kuikabili Mbeya City mtanange wa Ligi Kuu ya NBC ambao tunatarajia utakuwa mgumu lakini

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Mbeya City kesho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho leo jioni katika Uwanja wa Sokoine kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City. Wachezaji wote waliosafiri wamefanya

Sakho aridhia kumwachia Chama namba 17
Kiungo mshambuliaji Pape Ousmane Sakho, amekubali kumwachia jezi namba 17 Clatous Chama ambayo alikuwa anaitumia tangu ajiunge nasi katika majira ya kiangazi yaliyopita. Kabla ya

Moto wa Simba Queens usipime
Timu yetu ya Wanawake Simba Queens imeendelea kutoa dozi katika Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) baada ya kuichakaza bila huruma TSC Queens
