read

news & Articles

Timu yatua salama nchini Benin

Kikosi chetu kimewasili salama nchini Benin mchana huu tayari kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa Jumapili saa moja usiku

Timu kuondoka Ijumaa kuifuata ASEC Benin

Kikosi chetu kitaondoka Ijumaa alfajiri kuelekea nchini Benin kwa ajili ya mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa Jumapili saa

Cambiaso yatepeta mechi yetu ya kirafiki

Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Cambiasso katika mchezo wa kirafiki wa kimazoezi uliofanyika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena. Wachezaji

Nyota saba waitwa Taifa Stars

Wachezaji wetu saba wameitwa katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayojiandaa na mechi mbili za kirafiki za kimataifa zilizopo kwenye kalenda

Pablo ataja mbinu zilizoimaliza Berkane

Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema tuliamua kutumia udhaifu wa RS Berkane hasa upande wa kushoto kuanzisha mashambulizi ambayo yaliwafanya kuwa na wakati mgumu muda wote.

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC