read
news & Articles

Timu yatua salama nchini Benin
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Benin mchana huu tayari kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa Jumapili saa moja usiku

Timu kuondoka Ijumaa kuifuata ASEC Benin
Kikosi chetu kitaondoka Ijumaa alfajiri kuelekea nchini Benin kwa ajili ya mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa Jumapili saa

Chama, Bwalya, Banda waitwa timu zao za taifa
Nyota wetu watatu wa Kimataifa wameitwa katika timu zao za taifa wakati ligi zikisimama kupisha mechi za kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA). Clatous

Cambiaso yatepeta mechi yetu ya kirafiki
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Cambiasso katika mchezo wa kirafiki wa kimazoezi uliofanyika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena. Wachezaji

Nyota saba waitwa Taifa Stars
Wachezaji wetu saba wameitwa katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayojiandaa na mechi mbili za kirafiki za kimataifa zilizopo kwenye kalenda

Pablo ataja mbinu zilizoimaliza Berkane
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema tuliamua kutumia udhaifu wa RS Berkane hasa upande wa kushoto kuanzisha mashambulizi ambayo yaliwafanya kuwa na wakati mgumu muda wote.
