read

news & Articles

Timu kurejea kesho mchana

Kikosi chetu kitarejea nchini kesho saa sita mchana kutoka Benin baada ya kumaliza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas. Timu itaondoka

Pablo: Hatukucheza vizuri

Kocha Mkuu Pablo Franco, amekiri kuwa hatukucheza vizuri katika mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas na kusababisha kupoteza mechi.

Tumepoteza alama tatu ugenini

Mchezo wetu wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas uliopigwa Uwanja wa Generali Mathieu Karekou nchini Benin

Nyota watakaotuwakilisha dhidi ya ASEC leo

Medie Kagere amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa tano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigiwa Uwanja wa Generali Mathieu Karekou

Pablo: Tumekuja kuvunja mwiko wa ASEC

Ingawa wapinzani wetu ASEC Mimosas hawajawahi kupoteza mchezo nyumbani, Kocha mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa tumejipanga kuvunja mwiko huo kesho. Pablo amekiri ASEC ni

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC