read
news & Articles

Yatakayojiri kwa Mkapa Jumapili
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema Jumapili Aprili 17 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kutakuwa na matukio mawili makubwa yakiwemo mashindano

Queens mwendo mdundo
Timu yetu ya Wanawake Simba Queens imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) baada ya kuifunga Ruvuma Queens mabao 2-0.

Tumegawana pointi na Polisi
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania uliofanyika Uwanja wa Ushirika mjini Moshi umemalizika kwa sare ya bila kufungana. Mchezo huo

Pablo abadili nyota wanane dhidi ya Polisi leo
Kocha Mkuu Pablo Franco, amefanya mabadiliko ya wachezaji wanane katika kikosi kitakachoshuka dimbani leo kuikabili Polisi Tanzania katika Uwanja wa Ushirika ukilinganisha na kile kilichoanza

Tuko tayari kuchukua pointi tatu kwa Polisi leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro kuikabili Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Ligi

Pablo: Mchezo dhidi ya Polisi utakuwa mgumu
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa Uwanja wa Ushirika utakuwa mgumu kwetu kutokana
