read
news & Articles

Tupo tayari kumaliza kazi tuliyoianza Dar
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Orlando nchini Afrika Kusini kuikabili Orlando Pirates katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kuivutia kasi Orlando
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja wa Orlando kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho

Pablo apania kuifikia rekodi ya mwaka 1993
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa baada ya kupita miaka 29 tangu kufika nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika sasa muda

Queens yatamba kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo
Kocha Mkuu wa Timu ya Wanawake ya Simba Queens, Sebastian Nkoma ameweka wazi kuwa malengo yetu ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti

Queens kamili kwa Derby Jumapili
Kikosi chetu cha Simba Queens kipo kwenye maandalizi makali kuelekea mchezo wa Derby dhidi ya Yanga Princess wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s

Wawa aitaka Fainali Shirikisho Afrika
Mlinzi wa kati Pascal Wawa amefunguka kuwa timu itahakikisha tunapambana katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates kupata matokeo
