read
news & Articles

Ni ama zao ama zetu kwa Mkapa leo
‘Ama Zao Ama Zetu’ ndiyo kauli pekee unayoweza kuitumia kuelezea mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs leo utakaopigwa

Gomes: Wachezaji wapo tayari kuweka rekodi Afrika
Licha ya kuwa na kazi kubwa ya kupindua matokeo ya mabao 4-0 katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs

Gomes: Hakuna kinachoshindikana, tutapambana kiume Jumamosi
Kocha Mkuu, Didier Gomes ameweka wazi kuwa kwenye soka kila kitu kinawezekana hivyo tunapaswa kupambana kuhakikisha tunapindua matokeo na kutinga Nusu Fainali ya Ligi ya

Ni Ama Zao Ama Zetu, Do Or Die Season 2
Kuelekea mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa Jumamosi, Mei 22 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa tumekuja na

Simba kuanza mawindo dhidi ya Kaizer Chiefs kesho
Baada ya kurejea salama jijini Dar es Salaam kutoka Afrika Kusini, kikosi kimepewa mapumziko ya siku moja ambapo kesho kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa

Simba yajifua kabla ya kurejea Dar
Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni katika Uwanja wa Discovery Soccer Park hapa jijini Johannesburg kujiweka miili sawa kabla ya kuanza safari ya kurejea nchini.