read
news & Articles

Tuna jambo letu na Mbeya City kwa Mkapa leo
Baada ya mapumziko ya wiki mbili kupisha mechi za kufuzu michuano ya AFCON kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Mbeya City

Rasmi Moses Phiri ni mnyama
Klabu yetu imefanikiwa kumsajili mshambuliaji Moses Phiri raia wa Zambia aliyekuwa anachezea Zanaco FC ya nchini humo kwa mkataba wa miaka miwili. Phiri ambaye pia

Kauli ya Matola kuelekea mchezo wa Kesho
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema maandalizi yamekamilika kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Simba Klabu Bora Kidigitali mwaka 2021
Klabu yetu leo imekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora ya Kigitali kutokana na kufanya vizuri katika mitandao ya kijamii mwaka 2021. Tuzo hiyo tumekabidhiwa na waandaaji

Tumeshinda mbele ya Cambiaso
Mchezo wetu wa kirafiki wa mazoezi uliopigwa katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena dhidi ya Cambiaso Sports imemalizika kwa ushindi wa mabao 3-2. Tulianza

Matola: Tunataka kumaliza ligi kwa heshima
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, ameweka wazi kuwa lengo letu lililobaki ni kuhakikisha tunamaliza ligi kwa heshima baada ya kuwa na nafasi ndogo ya kutetea