read
news & Articles

Pablo awapongeza wachezaji ushindi dhidi ya Pamba
Kocha Mkuu Pablo Franco, amewasifu wachezaji baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Pamba FC na kufanikiwa kutinga Nusu Fainali

Tumetinga Nusu Fainali ASFC
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuifunga Pamba FC mabao 4-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja

Pablo abadili watano dhidi ya Pamba Leo
Kocha Mkuu Pablo Franco amefanya mabadiliko ya wachezaji watano katika kikosi kitakachoshuka dimbani leo kuikabili Pamba FC katika mchezo wa robo fainali ya Azam Sports

Queens Mabingwa Ligi ya Wanawake 2021/22
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imetawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) kwa mara ya tatu mfululizo baada

Pablo: Hakuna timu rahisi, tutapanga kikosi Kamili
Kuelekea mchezo wa kesho wa robo fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Pamba FC Kocha Mkuu Pablo Franco, amesisitiza haitakuwa

Pablo amewapongeza wachezaji ushindi wa Kagera
Kocha Mkuu Pablo Franco amewasifu wachezaji kwa kufanikisha kupatikana kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar uliopigwa jana Uwanja wa Benjamin Mkapa. Pamoja
