read
news & Articles
Morrison, Mkude, Kagere wachuana Mchezaji Bora Novemba
Nyota wetu watatu Bernard Morrison, Jonas Mkude na Medie Kagere wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Novemba (Emirate Aluminium ACP Simba
Pablo awamwagia sifa wachezaji
Kocha Mkuu Pablo Franco, amewasifu wachezaji kwa kujituma muda wote wa mchezo na kutufanya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows ya
Simba yatanguliza mguu mmoja ndani makundi Shirikisho Afrika
Ushindi wa mabao 3-0 tuliopata nyumbani dhidi ya Red Arrows leo umetufanya kuingiza mguu mmoja ndani katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika. Matokeo
Kagere kuongoza mashambulizi dhidi ya Red Arrows
Mshambuliaji Medie Kagere amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa keo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa
Simba ya kimataifa zaidi
Timu yetu inarejea katika michuano ya kimataifa ambayo mara nyingi tumekuwa tukipeperusha vema bendera ya nchi ambapao tumekuwa miongoni mwa miamba 10 bora Afrika msimu
Simba kutorudia makosa kwa Red Arrows
Nahodha wa timu John Bocco, amesema maandalizi kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows yamekamilika na wachezaji wamejipanga kuhakikisha hawarudii makosa.