read

news & Articles

Mwitikio wa Wanasimba waushangaza uongozi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu, Salim Abdallah ‘Try Again’ amesema uongozi umeshtushwa na jinsi Wanasimba walivyohamasika katika kuchangia ujenzi wa uwanja. Amesema Wanasimba

Simba Queens yashusha straika Mkongo

Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) kikosi chetu cha Simba Queens kimeshusha mshambuliaji mahiri

Nyota Simba Queens afunguka kuelekea msimu mpya

Kiungo mshambuliaji wa Simba Queens, Joelle Bukulu amefunguka kuwa maandalizi kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) yanaendelea

Mechi yetu dhidi ya Kagera imeahirishwa

Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar ambao ulipangwa kuchezwa leo katika Uwanja wa Kaitaba umeahirishwa kutokana na wachezaji wetu kuumwa.

Kampeni ujenzi wa uwanja yazinduliwa

Klabu yetu leo imezindua rasmi kampeni ya kuchangisha fedha za kujenga uwanja wetu wa kisasa kwa ajili ya mechi zetu za nyumbani. Wikiendi iliyopita Rais

Matola: Robo tatu ya wachezaji wanaumwa

Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC, Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema asilimia kubwa ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi lililosafiri kuja

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC