read
news & Articles
Kwa heri Ibrahim Ajibu
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu baada ya kuangalia faida za pande zote. Ajibu ni mchezaji kijana mwenye
Bocco: Hatuna presha ya kurejea kileleni
Nahodha wa timu John Bocco, amesema hatuna presha ya kurejea kileleni mwa msimamo ingawa amekiri ligi ya msimu huu ni ngumu. Bocco amesema timu yetu
TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa Klabu ya Simba umefikia makubaliano na pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Msaidizi Thierry Hitimana, kuanzia leo Desemba 28, 2021. Simba
Tumepangwa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika
Droo ya makundi ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika imekamilika mchana huu jijini Cairo Misri na tumepangwa kundi D. Kikosi chetu kimepangwa kundi D
Mkude, Henock, Onyango wachuana Mchezaji Bora Desemba
Nyota watatu wameingia kwenye fainali ya kinyang’anyiro cha kuwania mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Desemba (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month).
Kikosi charejea mazoezini kujiandaa na Azam
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya gym kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,