read
news & Articles

Licha ya kushinda kocha Simba Queens hajaridishwa na kiwango
Kocha Mkuu wa Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens, Hababuu Ally hajaridhishwa na kiwango cha nyota wake licha ya kuibuka na ushindi mnono wa

Simba Queens yaanza kutoa dozi Kenya
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imeanza vema michuano ya Caf Women’s Champions League Cecafa Qualifiers 2021 baada ya kuifunga PVP FC Buyenzi kwa

Hiki hapa Kikosi cha Simba Queens kitakachoikabili PVP FC
Kocha Mkuu wa Timu ya Wanawake ya Simba Queens l, Hababuu Ally ameweka wazi majina ya wachezaji 11 watakaoshuka dimbani kuikabili PVC Buyenzi ya Burundi

Simba Day Septemba 19
Tamasha kubwa linalosubiriwa kwa hamu na wapenzi wa mpira ndani na nje ya nchi la Simba Day litafanyika jijini Dar es Salaam Jumapili ya Septemba

Sakho atupia tena Morocco
Kiungo mshambuliaji Pape Ousmane Sakho ameendelea kuonyesha kuwa ni mchezaji hatari na hana masihara mbele ya lango baada ya kufunga bao la pekee katika mchezo

Simba kimataifa zaidi, yazindua App
Klabu yetu leo imezindua rasmi App ambayo itarahisisha wanachama, wapenzi na mashabiki kupata taarifa za moja kwa moja kuhusu kila kitu kinachoendelea ndani ya timu.