read
news & Articles
Mkude Mchezaji Bora Desemba
Kiungo mkabaji Jonas Mkude, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Desemba (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Mkude amewashinda walinzi wawili
Pablo: Mechi dhidi ya Azam ilitawaliwa na ufundi
Licha ya ushindi tuliopata dhidi ya Azam FC Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema mchezo ulikuwa mgumu na ulitawaliwa na mbinu nyingi kutoka kila timu. Amesema
Tumewapa zawadi ya Mwaka Mpya mashabiki wetu
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa
Hiki hapa kikosi kitakachokivaa Azam FC
Medie Kagere na Kibu Denis wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Tunafungua mwaka na Azam
Heri ya Mwaka mpya wa 2022 wanachama, wapenzi na mashabiki wetu popote mlipo duniani. Leo kikosi chetu kinashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Azam
Pablo: Tunaenda kukutana na timu bora
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu kutokana na ubora wa ‘Wanalambalamba’ hao.