read
news & Articles
Kagere kuongoza mashambulizi dhidi ya Namungo
Mshambuliaji Medie Kagere amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa nusu fainali ya michuano ya Mapinduzi dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Amani saa 2:15
Tupo tayari kwa Namungo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Amani kucheza mechi ya Nusu Fainali ya Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Namungo utakaopigwa saa 2:15 usiku. Kama
Pablo: Mechi dhidi ya Namungo itakuwa nzuri
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema mchezo wa kesho wa Nusu Fainali ya Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Namungo FC utakuwa mzuri wa kuvutia kuutazama. Pablo
Simba Queens yaichakaza Yanga Princess
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake Simba Queens, kimeibuka na ushindi mabao 4-1 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti
Alichosema Kocha Pablo baada ya mechi dhidi ya Mlandege
Kocha Mkuu Pablo Franco amesema Mlandege walicheza kitimu hasa katika kuzuia ingawa pia walitumia zaidi nguvu kwa wachezaji wetu. Pablo amesema michuano ya Mapinduzi ni
Simba Queens kuendelea walipoishia
Nahodha wa timu yetu ya Wanawake Simba Queens, Violeth Nicholaus amesema tutaendelea tulipoishia kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Yanga Princess utakaopigwa Uwanja wa Mkapa