read
news & Articles

Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya KMC leo
Moses Phiri amepangwa kuongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa

Tunaendelea tulipoishia
Baada ya mapumziko ya wiki mbili kupisha mechi za kufuzu fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa

Matola: Tupo tayari kwa KMC Kesho
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema kikosi kipo kamili tayari kwa mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa saa

Taarifa kwa Umma
Klabu yetu imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi Zoran Maki. Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mikataba ya

Timu yaingia Kambini kujiandaa na KMC
Kikosi chetu leo kimengia kambini rasmi kujiandaa na mchezo wa tatu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Jumatano Uwanja wa Benjamin Mkapa

Chama Mchezaji Bora wa Mashabiki Agosti
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama, amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Agosti (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Chama amewashinda viungo wenzake