read
news & Articles
Pablo: Mechi dhidi ya Mbeya City itakuwa ngumu
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu kutokana na ubora
Machampioni wa Mapinduzi kurejea Dar mchana
Mabingwa wa Michuano ya Mapinduzi 2022 watarejea jijini Dar es Salaam leo mchana kutoka Visiwani Zanzibar wakiwa na taji mkononi baada ya kukamilisha malengo. Kikosi
Nyota wetu wang’ara Tuzo Mapinduzi Cup
Michuano ya Mapinduzi mwaka 2022 imefikia tamati leo ambaoo tumetawazwa mabingwa baada ya kuichapa Azam FC bao moja katika Uwanja wa Amaan. Kiungo mshambuliaji, Pape
Tumelibeba…
Baada ya kupita muda mrefu bila kutwaa taji la Michuano ya Mapinduzi hatimaye tumefanikiwa baada ya kuifunga Azam FC bao moja mchezo uliopigwa Uwanja wa
Mashujaa wetu watakaoikabili Azam FC Fainali Mapinduzi
Usiku wa leo kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar kucheza mechi ya Fainali ya Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Azam FC. Kocha
Tuko tayari kwa fainali
Leo saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Aman, Visiwani Zanzibar kikosi chetu kitashuka kuikabili Azam FC katika mchezo wa Fainali ya Michuano ya Mapinduzi. Wachezaji