read
news & Articles
Simba U20 yaichakaza Ashanti
Kikosi chetu cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 (U-20) kimeichapa bila huruma Ashanti United bao 3-1 katika Michuano ya Shirikisho la
Tumezifuata pointi tatu kwa Mtibwa
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro kuikabili Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao tumelenga
Timu imefanya mazoezi ya mwisho tayari kuivaa Mtibwa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho leo jioni katika Uwanja wa Highland tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa
Pablo: Tumepata mazoezi mazuri kabla ya kucheza na Mtibwa
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema timu imepata mazoezi mazuri kabla ya mchezo wetu wa Jumamosi wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar tofauti
Timu kuondoka mchana kuifuata Mtibwa Moro
Kikosi chetu kitaondoka leo mchana kuelekea mkoani Morogoro tayari kwa mchezo ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa Jumamosi Uwanja wa
Timu yarejea Dar, wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam leo kutoka mkoani Mbeya huku wachezaji wakipewa mapumziko ya siku moja. Kesho kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na