read
news & Articles
Simba Queens kuweka rekodi 2022
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian Nkoma amesema lengo letu ni kuhakikisha tunatwaa taji la Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) kwa mara
Pablo: Tumekuwa na wiki ngumu
Kocha Mkuu Pablo Franco, amekiri tumekuwa na siku tisa ngumu ambazo tumecheza mechi tatu za ugenini zilizotufanya kusafiri umbali mrefu bila matokeo. Pablo amesema ratiba
Tumepoteza…
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar uliofanyika Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja. Tulianza mchezo
Pablo apanga kikosi kivingine
Kocha Mkuu Pablo Franco, amebadili mfumo kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar ambapo ameamua kutotumia mshambuliaji asilia. Katika
Tunazihitaji alama tatu pekee leo Kaitaba
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Kaitaba kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao tunahitaji ushindi ili
Simba Queens yaipiga ‘mkono’ The Tiger Queens
Timu yetu ya Simba Queens imeendeleza wimbi la ushindi katika ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) baada ya kuichakaza bila huruma The Tigers