read
news & Articles

Queens yaingia kambini kujiandaa na Ligi ya Mabingwa
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens itaingia kambini rasmi leo tayari kwa maandalizi ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika itayofanyika nchini Morocco kuanzia

Mgunda: Tuliwasoma vizuri Big Bullets
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza uliofanyika nchini Mbalawi dhidi ya Nyasa Big Bullets tulirudi mazoezini na kuangalia ubora

Phiri kama kawa atupia mawili tukiitoa Big Bullets
Mabao mawili yaliyofungwa na mshambuliaji Moses Phiri yametosha kutuvusha na kutinga hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuifunga Nyasa Big Bullets

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Big Bullets
Moses Phiri ataendelea kuongoza safu yetu ya ushambuliaji katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets utakaopigwa Uwanja wa

Tunaendelea tulipoishia Malawi
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Nyasa Big Bullets ya Malawi katika mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi
Alichosema Kocha Mgunda kuelekea mchezo wa kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali utakaopigwa Uwanja wa Benjamin