read
news & Articles
Simba Queens haikamatiki, haishikiki
Timu yetu ya Simba Queens imeendelea kufanya vizuri katika Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) baada ya kuifunga Baobab Queens mabao 3-1 leo
Viingilio mchezo wetu dhidi ya ASEC Mimosas
Jumapili Februari 13 tutashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 10 jioni kuikabili ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa hatua ya
Matola: Tulistahili ushindi mnono zaidi dhidi ya Mbeya Kwanza
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amesema katika mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya Kwanza tulikuwa na uwezo wa kupata ushindi mnono
Simba yaichapa Mbeya Kwanza 1-0
Kikosi chetu kimefanikiwa kupata alama tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuifunga Mbeya Kwanza bao moja mtanange uliopigwa Uwanja wa
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya Mbeya Kwanza Leo
Baada ya kukosekana katika mechi mbili kutokana na maumivu ya mguu kiungo mkabaji Sadio Kanoute, amerejea kikosini na leo ameanza dhidi ya Mbeya Kwanza. Kanoute
Tuna jambo letu kwa Mkapa leo
Kikosi chetu kitashuka leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utaanza saa moja usiku. Katika