read
news & Articles

Tumefanya Mazoezi ya Mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto utakaopigiwa

Zoezi la hamasa lahitimishwa Mbagala
Zoezi la kuhamasisha mashabiki kuelekea mchezo wetu wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto limehitimishwa leo katika viwanja

Mzamiru afunguka mipango ya Afrika
Kiungo mkabaji Mzamiru Yassin, amesema kwa sasa malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Premeiro De Agosto Jumapili

Mgunda: Maandalizi ya De Agosto yamekamilika asilimia 80
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto kutoka Angola utakaopigwa Jumapili katika

Ahmed: Tumeshinda Angola, hatujafuzu
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema licha ya kufanikiwa kupata ushindi mnono katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya

Timu Kuingia Kambini Kujiandaa na De Agosto
Kikosi chetu leo kitaingia kambini baada ya mazoezi ya jioni kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto