read
news & Articles

Timu yarejea mazoezini
Baada ya mapumziko ya siku mbili kikosi chetu kimefanya mazoezi leo katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC

Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Determine Girls
Kikosi chetu leo kitacheza mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine Girls ambao utapigwa saa moja usiku kwa saa za nyumabani

Queens yafanya mazoezi ya mwisho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Academia Fus Rabat kujiandaa na mchezo wa pili Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine Girls

Alichosema Kocha Lukula kuelekea mchezo dhidi ya Determine
Kocha Mkuu, Charles Lukula amesema wachezaji wapo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wetu wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine Girls kutoka

Queens yarejea mazoezini kujiandaa na Determine
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Academia Fus Rabat kujiandaa na mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine

Onyango, Mzamiru, Okrah wachuana Tuzo Mchezaji Bora Oktoba
Nyota wetu watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kutafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month. Wachezaji