read
news & Articles
Wawa kuongoza safu ya ulinzi dhidi ya Dodoma
Mlinzi wa kati Pascal Wawa ataongoza idara ya ulinzi katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigiwa Uwanja wa Benjamin
Tuko tayari kwa Dodoma Jiji leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Dodoma Jiji katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC 2021/22. Mchezo wa
Pablo: Tumewasisitiza wachezaji kutumia nafasi
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema amewasisitiza wachezaji kuhakikisha tunatumia vizuri nafasi tutakazopata ili kupata ushindi kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi
Mchezo dhidi ya Dodoma kesho kupigwa jioni
Mechi yetu ya kesho ya Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji ambayo awali ilikuwa ichezwe saa moja usiku sasa itapigwa saa 10 jioni.
Kakolanya afurahia ‘clean sheet’
Mlinda mlango namba mbili, Beno Kakolanya amefurahi kucheza mechi yake ya kwanza ya ligi msimu huu bila kuruhusu kufungwa bao (clean sheet). Mchezo huo uliopigwa
Pablo awamwagia sifa wachezaji ushindi dhidi ya Biashara
Kocha Mkuu Pablo Franco, amewasifu wachezaji kwa jinsi walivyojituma katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Biashara United tulioibuka na ushindi wa mabao 3-0. Pablo