read
news & Articles
Kurejea majeruhi kutuongezea nguvu kikosini dhidi ya Berkane
Nahodha Msaidizi Mohamed Hussein (Zimbwe Jr) amesema kurejea kwa wachezaji waliokuwa majeruhi wameongeza nguvu kubwa kuelekea mchezo wetu wa Jumapili wa Kombe la Shirikisho Afrika
Timu kuingia kambini kujiandaa na Berkane
Kikosi chetu kitaingia kambini baada ya mazoezi ya leo jioni kujiandaa na mchezo wa nne wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi ya
Kapombe akabidhiwa tuzo yake na Emirate Aluminium ACP
Mlinzi wa kulia Shomari Kapombe, amekabidhiwa tuzo yake ya mchezaji bora wa mwezi Februari wa mashabiki (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month).
Simba yatoa msaada Gereza la Wanawake Segerea
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation imetembelea Gereza la Wanawake la Segerea na kutoa misaada mbalimbali katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Ushindi wa Dodoma umetuongezea morali kuelekea Shirikisho Afrika
Kocha Mkuu Pablo Franco amesema ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya Dodoma Jiji utaongeza morali kwa wachezaji kuelekea maandalizi ya mchezo wa Kombe la
‘Tumezitafuna zabibu za Dodoma’
Tumefanikiwa kukusanya alama tatu muhimu baada ya kuifunga Dodoma Jiji mabao 2-0 Katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Tulianza