read

news & Articles

Lengo lilikuwa kufuzu ugeniniā€¦

Wakati timu inaondoka kuelekea Benin kwa ajili ya mchezo wetu wa tano hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas, tulikuwa

Timu kurejea kesho mchana

Kikosi chetu kitarejea nchini kesho saa sita mchana kutoka Benin baada ya kumaliza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas. Timu itaondoka

Pablo: Hatukucheza vizuri

Kocha Mkuu Pablo Franco, amekiri kuwa hatukucheza vizuri katika mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas na kusababisha kupoteza mechi.

Tumepoteza alama tatu ugenini

Mchezo wetu wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas uliopigwa Uwanja wa Generali Mathieu Karekou nchini Benin

Nyota watakaotuwakilisha dhidi ya ASEC leo

Medie Kagere amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa tano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigiwa Uwanja wa Generali Mathieu Karekou

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC