read
news & Articles
Safari ya treni kwa ajili ya hamasa yafana
Safari ya treni kutoka Pugu hadi Kamata jijni Dar es Salaam katika zoezi la kuhamasisha mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mchezo wetu wa Jumapili wa
Usalama siku ya mchezo ni asilimia 100
Uongozi wa klabu umewatoa hofu mashabiki ambao wamepanga kujitokeza katika mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie ambapo utapigwa saa nne
Mechi dhidi ya USGN kupigwa saa nne usiku
Mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie utapigwa saa nne usiku badala ya saa moja
Tumezindua kampeni ya hamasa kuelekea mechi USGN
Katika kuonyesha tumedhamiria kushinda na kutinga Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika leo tumezindua kampeni ya hamasa kwa mashabiki ili kujitokeza kwa
Pablo: Tunataka ushindi kwa ajili ya mashabiki wetu
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa tunahitaji kupata ushindi katika mchezo wetu wa Jumapili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie ili
Ahmed: Tumejifunza kutokana na makosa, hatutayarudia
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema kuwa bila kuangalia historia ya wapinzani wetu US Gandarmerie tutaingia Jumapili kwa lengo moja kupambana