read
news & Articles
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Orlando
Mshambuliaji Chris Mugalu na Bernard Morrison wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates. Mugalu
Tumejipanga kumaliza kazi leo kwa Mkapa
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali
Kinana Mgeni rasmi mchezo wetu dhidi ya Orlando
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Comrade Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika
Pablo: Tuko tayari kwa Orlando
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kikosi kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa kesho katika
Mzamiru: Wachezaji tuna ‘mzuka’ wa kutinga Nusu Fainali
Kiungo mkabaji Mzamiru Yassin, ameweka wazi kuwa dhamira ya wachezaji wote ni kuhakikisha tunaitoa Orlando Pirates na kuingia Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la
Queens yaipiga kitu kizito Oysterbay Queens
Timu yetu ya Wanawake Simba Queens, imeendelea kutoa dozi nzito kwa kila anayekutana naye baada ya kuichakaza bila huruma Oysterbay Queens mabao 7-0 katika mchezo