read
news & Articles
Nane kuwakilisha nchi zao kufuzu AFCON
Wachezaji nane kutoka kwenye kikosi chetu wameitwa katika timu zao za taifa kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu michuano ya AFCON itakayofanyika mwakani. Nyota
Taarifa Kwa Umma
Uongozi wa Klabu umefikia makubaliano ya pande zote ya kuvunja mkataba na kocha mkuu, Pablo Franco Martin baada ya kutofikia matarajio yaliyokuwa yamewekwa. Katika kipindi
Kibu, Bwalya, Mzamiru kuchuana mchezaji bora Mei
Nyota wetu watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa mwezi Mei wa mashabiki (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month).
Mo: Hakuna kurudi nyuma, mapambano yanaendelea
Rais wa Heshima wa Klabu na muwekezaji, Mohamed Dewji ‘Mo’ amesema licha yakuwa hatukuwa na msimu mzuri lakini hatupaswi kurudi nyuma badala yake kuboresha kwenye
Tumetolewa ASFC
Mchezo wetu wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza umemalizika kwa kupoteza kwa
Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Yanga Leo
Mshambuliaji Chris MugaluĀ ataongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa CCM