read
news & Articles
Timu yarejea mazoezini
Baada ya mapumziko ya wiki moja kupisha mechi za kufuzu Fainali za AFCON kikosi chetu kimerejea mazoezini kujiandaa na mechi zilizosalia za Ligi Kuu ya
Manula arejea langoni Stars
Mlinda mlango wetu Aishi Manula, atasimama katika milingoti mitatu katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoshuka dimbani kuikabili Niger kwenye mchezo
Try Again: Tutarudi kwa kasi kubwa msimu ujao
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ amefunguka kuwa tutatengeneza kikosi imara na benchi bora la ufundi kuelekea Msimu Mpya wa Ligi 2022/23.
Tumedhamiria kuwa na uwanja wetu
Kiasi chote kitakachopatikana katika Kampeni ya Nani Zaidi iliyozinduliwa leo kitatumika katika ujenzi wa miundombinu ya uwanja wetu tutakaoutumia kwenye michuano mbalimbali ya ndani na
Kibu mchezaji bora Mei
Kiungo mshambuliaji, Kibu Denis amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Mei (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Kibu ameshinda tuzo hiyo
Timu yetu ya vijana mzigoni mwezi ujao
Kikosi cha timu yetu ya vijana kitashiriki michuano ya Ligi Kuu chini ya umri wa miaka 20 ambayo itaanza kutimua vumbi Julai mwaka huu. Michuano