read
news & Articles
Queens yashusha straika mwingine
Kikosi chetu cha Simba Queens kimekamilisha usajili wa mshambuliaji Philomena Abakah kutoka Berry Ladies inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ghana. Usajili wa Philomena unakuwa wa tatu
Queens yavuta Straika kutoka Nigeria
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens, imekamilisha usajili wa mshambuliaji Ibinabo Alex kutoka Confluence Queens FC ya Nigeria. Mshambuliaji huyo amesaini mkataba wa miaka
Sakho Mchezaji Bora wa Mashabiki Juni
Kiungo mshambuliaji Pape Sakho amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Juni (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month baada ya kuwashinda Peter
Sakho, Banda, Kibu wachuana Tuzo Mchezaji Bora Juni
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Juni (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Nyota hao
Matola: Tunashukuru tumemaliza msimu salama
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema baada ya kumalizika rasmi kwa msimu wa ligi 2021/22 salama sasa tunajipanga kwa maandalizi ya msimu ujao. Matola amesema
Tumepata alama moja Songea
Mchezo wetu wa mwisho wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Uwanja wa Majimaji mjini Songea dhidi ya Mbeya Kwanza umemalizika kwa sare ya bila kufungana.