read
news & Articles

Timu yawasili salama Uganda
Kikosi chetu kimewasili salama nchini ya Uganda tayari kwa mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vipers utakaopigwa Jumamosi. Kesho kikosi kitafanya

Kikosi cha nyota 24 watakaosafiri kuifuata Vipers Uganda
Leo jioni kikosi chetu kitaanza safari ya kuelekea nchini Uganda tayari kwa mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi

Timu Kuondoka Kesho jioni kuifuata Vipers
Kikosi cha wachezaji 25 benchi la ufundi pamoja na baadhi ya viongozi kitaondoka kesho jioni kuelekea nchini Uganda kwa ajili ya mchezo wa tatu wa

Robertinho awapongeza wachezaji sare ya Azam
Licha ya kutoka sare ya bao moja dhidi ya Azam FC kocha mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wachezaji kwa kupambana kutafuta alama tatu ingawa hatukufanikiwa.

Tumegawana Pointi na Azam kwa Mkapa
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Azam walipata

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Azam Leo
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kikosi kamili kilivyopangwa: