read
news & Articles
Tumeshinda mbele ya Al Kholood
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Al Kholood inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Saudi Arabia. Mlinzi wa kushoto Gadiel
Mkataba wa M-Bet ni kufuru
Leo tumetangaza rasmi thamani ya mkataba na mdhamini wetu mkuu Kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet wenye thamani ya Sh. Bilioni 26.1 kwa muda
Kauli ya Mangungu kuhusu usajili wa wachezaji wapya
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba upande wa Wanachama, Murtza Mangungu amesema bado hatujamaliza kufanya usajili wa wachezaji wapya kwenye kikosi chetu. Mangungu amesema wiki hii
Ratiba ya Simba kuelekea Simba Day
Leo tumezindua rasmi ratiba yetu yetu ya wiki nzima kuelekea Tamasha la Kimataifa la Simba Day ambalo litafanyika Agoati 8 Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kama
Barbara: Tutarudi kwa kishindo 2022/23
Mtendaji Mkuu wa klabu Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa tutarudisha mataji yote tuliyopoteza msimu uliopita kutokana na maandalizi tunayoendelea nayo. Barbara amesema malengo yetu ni
Tumepoteza mchezo dhidi ya Haras El Hodoud
Mchezo wetu wa kirafiki uliopigwa katika mji wa Cairo umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya Haras El Hodoud ambao wamepanda daraja kucheza ligi