read
news & Articles
Tumeshusha Chuma kutoka Serbia
Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji Dejan Georgijević (28), raia wa Serbia kwa mkataba wa miaka miwili. Msimu uliopita Dajan alikuwa anacheza katika timu
Tumezindua rasmi jezi zetu Msimu wa 2022/23
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye leo tumezindua jezi mpya ambazo tutazitumia katika mashindano yote ndani ya Msimu wa Ligi 2022/23. Jezi zetu zipo
St. George watua Dar
Wapinzani wetu St. George ambao tutacheza nao mchezo wa kirafiki wa kimataifa kwenye kilele cha Simba Day wamewasili jijini Dar es Salaam leo na msafara
Tumewashika mkono Mahabusu ya Watoto Upanga
Klabu yetu kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation, leo tumetembelea Mahabusu ya Watoto Upanga na kutoa misaada mbalimbali ya kibinadamu ikiwa ni sehemu ya Wiki
Tunacheza na St. George Simba Day
Ni rasmi tutacheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya St. George kutoka Ethiopia katika kilele cha Tamasha letu la Simba Day litakalofanyika Jumatatu Agosti
Tumeshusha kocha wa makipa kutoka Morocco
Katika kuboresha benchi la ufundi kuelekea msimu mpya wa ligi leo tunamtangaza Mohamed Rachid raia wa Morocco kuwa kocha wetu wa makipa. Kabla ya kujiunga