read
news & Articles
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Garde Republicaine
Leo saa moja usiku kikosi chetu cha timu ya Wanawake kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Garde Republicaine FC kutoka Djibouti katika michuano ya
Queens kufungua pazia la Klabu Bingwa Afrika leo
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo itashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Garde Republicaine FC ya Djibouti katika mchezo wa Ligi ya
Zoran: Tuna kazi ya kufanya kabla ya kuanza ligi
Kocha Mkuu Zoran Maki, ameweka wazi kuwa tunahitaji kufanya marekebisho ya kiuchezaji kabla ya kuanza Ligi Kuu ya NBC msimu huu wa 2022/23. Kauli hiyo
Tumepoteza mbele ya mtani
Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii kuashiria kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umeisha
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga leo
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kuashiria kufunguliwa kwa pazia la Ligi
Zoran: Tupo tayari kwa Derby kesho
Kocha Mkuu Zoran Maki, ameweka wazi kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga kuashiria kufunguliwa