read
news & Articles
Queens yatinga Nusu Fainali CECAFA
Ushindi wa mabao 2-0 uliopata Tinu yetu ya Wanawake ya Simba Queens dhidi ya SHE Corporates ya Uganda imetufanya kutinga Nusu Fainali ya Michuano
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya SHE Corporates
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake ya Simba Queens leo kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili SHE Corporates ya Uganda katika mchezo wa pili
Tuko tayari kwa Msimu Mpya 2022/23
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 12 jioni kuikabili Geita Gold katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC 2022/23.
Tumefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Geita kesho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena tayari kwa mchezo wetu wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya
Zoran: Wachezaji wote wako tayari kwa Geita Gold kesho
Kocha Mkuu Zoran Maki, amesema wachezaji wote wako kwenye hali nzuri kuelekea katika mchezo wetu wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita
Queens waanza na dozi kali CECAFA
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake cha Simba Queens kimeanza vema michuano ya Ligi ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) baada ya