read
news & Articles
Tumepata mwaliko maalumu kutoka Al Hilal
Kikosi chetu kimepokea mwaliko maalumu kutoka kwa Klabu ya Al Hilal ya Sudan kushiriki michuano maalum ambayo itaanza kufanyika wiki ijayo. Tukiwa nchini Sudan tutacheza
Wachezaji wapewa mapumziko ya siku tatu
Baada ya ligi kusimama kupisha mechi za kufuzu Fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) katika ya Tanzania na Uganda wachezaji wamepewa mapumziko ya
Alichosema Zoran baada ya mchezo dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu Zoran Maki, ameweka wazi amefurahi kupata alama tatu katika mchezo wa jana dhidi ya Kagera Sugar ingawa amekiri tumepoteza nafasi nyingi. Zoran amesema
Tumechukua tatu kutoka kwa Kagera
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu Zoran amefanya mabadiliko ya mchezaji mmoja katika mchezo wa leo dhidi ya Kagera ukilinganisha na mechi iliyopata dhidi ya Geita Gold. Moses Phiri
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu Zoran amefanya mabadiliko ya mchezaji mmoja katika mchezo wa leo dhidi ya Kagera ukilinganisha na mechi iliyopata dhidi ya Geita Gold. Moses Phiri