read
news & Articles
Israel aiita mechi dhidi ya Al Hilal ‘Ya Wakubwa’
Mlinzi wa kulia Israel Patrick amesema mchezo wa kesho wa fainali dhidi ya wenyeji Al Hilal ni ya wakubwa kutokana na kukutanisha timu zenye historia
Matola: Tupo tayari kwa fainali kesho
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa fainali dhidi ya wenyeji Al Hilal utakaopigwa kesho katika Uwanja wa Al
Chama, Sakho, Kanoute kuchuana Mchezaji Bora Agosti
Nyota wetu watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kutafuta Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month) wa mwezi Agosti.
Tumeanza kwa Ushindi Sudan
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko kutoka Ghana mchezo uliopigwa Uwanja wa
CEO wa Asante Kotoko ashukuru kwa zawadi
Mtendaji Mkuu wa klabu ya Asante Kotoko, Nana Yaw Amponsah ameshukuru kwa zawadi alizopewa na Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu. Kabla ya mchezo wetu wa
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya Asante Kotoko Leo
Moses Phiri ataendelea kuongoza idara ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Asante Kotoko kutoka Ghana utakaopigwa Uwanja wa Al Hilal