read
news & Articles
Kikosi kitacho tuwakilisha dhidi ya Arta Solar 7
Mshambuliaji Moses Phiri amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Arta Solar 7 kutoka Djibouti utakaopigwa Uwanja wa Uhuru. Phiri
Africarriers yakabidhi basi kwa Simba Queens
Kampuni ya uuzaji wa magari Africarriers imetoa basi kwa timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens kwa ajili ya usafiri wa ndani ikiwa ni sehemu
Tumehitimisha Michuano Maalumu kwa kubadilishana zawadi na Al Hilal
Mwenyekiti wa klabu upande wa wanachama, Murtaza Mangungu amemkabidhi zawadi ya jezi Mweka Hazina wa Al Hilal, Farik Yahya Mohammad huku na yeye akimkabidhi ngao
Tumepoteza mbele ya Al Hilal
Mchezo wetu wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja mtanange uliopigwa Uwanja wa Al Hilal nchini
Dejan kuongoza mashambulizi dhidi ya Al Hilal leo
Mshambuaji Dejan Georgijevic amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo dhidi ya wenyeji Al Hilal katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Al Hilal nchini Sudan.
Queens yavunja kambi, wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu cha Simba Queens kimevunja kambi na wachezaji wamepewa mapumziko huku wale walioitwa Timu ya Taifa (Twiga Stars) wakiwa wameruhusiwa kwenda kujiunga kwa ajili