read
news & Articles
Quuens yapangwa Kundi A Mabingwa Afrika
Timu yetu ya Simba Queens imepangwa kundi A katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambayo itafanyika nchini Morocco Oktoba 31 hadi Novemba 13. Queens
Timu yafanya mazoezi ya kwanza Malawi
Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni katika Uwanja wa ABC Academy kujiandaa na mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big
Timu kuondoka kesho asubuhi kuifuata Big Bullets
Kikosi chetu kitaondoka kesho saa 12 asubuhi kuelekea Lilongwe Malawi tayari kwa mchezo wetu wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya
Tumepata sare na KMC
Mchezo wetu wa tatu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi KMC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya mabao 2-2. Moses Phiri alitupatia
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya KMC leo
Moses Phiri amepangwa kuongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa
Tunaendelea tulipoishia
Baada ya mapumziko ya wiki mbili kupisha mechi za kufuzu fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa