read
news & Articles
Dejan Kuongoza mashambulizi dhidi ya Malindi leo
Mshambuliaji Dejan Georgijevic amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya Malindi FC utakaopigwa Uwanja wa Amani saa 2:15 usiku. Mara kadhaa Dejan
Timu yawasili salama Visiwani Zanzibar
Kikosi chetu kimewasili salama Visiwani Zanzibar tayari kwa mechi mbili za kirafiki kufuatia mwaliko kutoka Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) kipindi hiki ligi ikiwa imesima
Mchezo dhidi ya De Agosto kupigwa Oktoba 9, Angola
Mchezo wetu wa hatua ya kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CD Primeiro De Agosto utapigwa Oktoba 9, mwaka huu katika Uwanja wa
Timu kwenda Zanzibar kwa mwaliko maalumu
Kikosi chetu kitaondoka jijini Dar es Salaam kesho kutwa Ijumaa kuelekea Zanzibar kufuatia mwaliko tuliopewa na Shirikisho la Soka Visiwani humo (ZFF) ambapo tutacheza mechi
Queens yaingia kambini kujiandaa na Ligi ya Mabingwa
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens itaingia kambini rasmi leo tayari kwa maandalizi ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika itayofanyika nchini Morocco kuanzia
Mgunda: Tuliwasoma vizuri Big Bullets
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza uliofanyika nchini Mbalawi dhidi ya Nyasa Big Bullets tulirudi mazoezini na kuangalia ubora