read
news & Articles
Chama, Inonga warejea kuiwahi Dodoma Jiji Jumapili
Nyota wetu Clatous Chama na Henock Inonga ambao walikuwa kwenye majukumu ya timu za taifa wamerejea nchini tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Tumeibuka na ushindi dhidi ya Kipanga
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kipanga FC katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Amaan hapa Zanzibar. Katika mchezo
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Kipanga leo
Kibu Denis amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa pili wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC utakaopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar saa 2:15 usiku. Kibu
Mgunda asisitiza mchezo wa kiungwana Zanzibar
Kuelekea mchezo wetu wa pili wa kirafiki tutakaocheza kesho dhidi ya Kipanga FC, Kocha Mkuu Juma Mgunda amesisitiza wachezaji wacheze kiungwana bila kuumizana. Kauli hiyo
Phiri, Chama, Mzamiru wachuana Mchezaji Bora Septemba
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kumtafuta Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Septemba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Wachezaji
Tumeshinda dhidi ya Malindi
Bao pekee lililofungwa na kiungo mkabaji Nassor Kapama limetosha kutupa ushindi dhidi ya Malindi katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar. Kapama