read
news & Articles
Phiri Mchezaji Bora wa Mashabiki Septemba
Mshambuliaji Moses Phiri amefanikiwa kushinda kinyang’anyiro cha Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Septemba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Phiri ameshinda
Tumevuna pointi tatu za Dodoma Jiji
Kikosi chetu kimefanikiwa kupata pointi tatu baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Dodoma Jiji leo
Kocha Mkuu Juma Mgunda na benchi lake la ufundi leo wameamua kuanza na washambuliaji wawili katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya
Tupo kwa Mkapa leo kuikabili Dodoma Jiji
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Dodoma Jiji katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo wa leo
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya
Matola: Maandalizi dhidi ya Dodoma yamekamilika
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigiwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa