read
news & Articles
Alichokisema Bocco kuelekea mchezo dhidi ya De Agosto
Nahodha wa timu John Bocco, amesema licha ya kuwa na historia nzuri kwenye Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, haitupi kiburi kuwa tutaibuka na ushindi
Phiri awataja wachezaji wenzake Tuzo ya Septemba
Mshambualiaji wetu kinara Moses Phiri amewashukuru wachezaji wenzake kwa ushirikiano waliompa hadi kufanikiwa kuibuka mshindi katika Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Septemba
Timu yaendelea kujifua Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Primiero De Agosto utakaopigwa Jumapili
Timu kupaa Angola Jumamosi kuifuata De Agosto
Kikosi chetu kinatarajia kuondoka nchini Jumamosi alfajiri Oktoba 8, kuekekea Angola tayari kwa mchezo wa hatua ya kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya
Lukula kocha mpya Simba Queens
Uongozi wa klabu umefikia makualiano na Charles Ayeikoh Lukula raia wa Uganda kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Wanawake ya Simba Queens kwa mkataba wa
Mgunda: Tunaelekeza nguvu zetu Angola
Baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji tuliopata jana sasa tunaelekeza nguvu katika mchezo wetu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya