read
news & Articles
Queens kuanza na wenyeji Mabingwa Afrika
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeweka hadharani ratiba ya Ligi ya Mabingwa upande wa Wanawake ambayo itaanza Oktoba 30 nchini Morocco. Timu yetu ya
Rais Samia aipongeza Simba kutinga makundi Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pongezi kwa klabu baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya
Rasmi tumetinga hatua ya makundi Mabingwa Afrika
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga Premiero De Agosto kutoka Angola bao moja katika mchezo
Tumejipanga kumaliza kazi kwa Mkapa leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Premiero De Agosto katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Tumefanya Mazoezi ya Mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto utakaopigiwa
Zoezi la hamasa lahitimishwa Mbagala
Zoezi la kuhamasisha mashabiki kuelekea mchezo wetu wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto limehitimishwa leo katika viwanja