read
news & Articles
M-BET wadhamini wakuu Simba Queens
Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya M-Bet imeingia mkataba wa miaka mitano na klabu yetu kwa ajili ya kuidhamini Timu ya Wanawake ya Simba Queens.
Queens kuondoka kesho na matumaini kibao
Kocha Mkuu Charles Lukula amesema kikosi chake kitaondoka kesho alfajiri kuelekea nchini Morocco kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri kwenye Michuano ya Ligi ya Mabingwa
Baada ya sare timu kurejea mazoezini
Kikosi chetu leo jioni kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa Alhamisi
Mgunda: Tulipambana
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema wachezaji walipambana wakati wote wa mchezo dhidi ya watani wetu Yanga lakini hatukufanikiwa kupata alama tatu. Mgunda amesema wachezaji walicheza
Tumegawana pointi na mtani
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi watani wetu ya jadi Yanga uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya bao moja. Tulianza
Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga leo
Mshambuliaji kinara Moses Phiri amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu Yanga utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa