read
news & Articles
Phiri, Kyombo kuongoza mashambulizi dhidi ya Eagle leo
Kocha Juma Mgunda ameanza na washambuliaji wawili katika mchezo wetu wa hatua ya pili ya Azam Sports Federation Cup ASFC dhidi ya Eagle FC utakaopigwa
Zimbwe Jr awaita mashabiki kwa Mkapa Kesho
Nahodha Msaidizi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kesho kwa ajili ya kutupa sapoti kwenye mchezo wetu
Mgunda: Hakuna timu ndogo kwenye mashindano
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema kwenye mashindano yoyote hakuna timu ndogo ndiyo maana katika mchezo wa kesho wa hatua ya pili ya Azam Sports Federation
Mgunda Kocha Bora NBCPL Novemba
Kocha wetu Juma Mgunda amechaguliwa Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi Novemba. Mgunda amewashinda Hans Van Pluijm wa Singida Big Stars na
Queens yaanza kwa kupoteza SLWPL
Kikosi chetu cha Simba Queens kimepoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) kwa mabao 2-1 dhidi ya
Queens kufungua pazia la SLWPL na JKT kesho
Timu yetu ya Simba Queens kesho itaanza kampeni ya kutetea taji la Ligi Kuu ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) kwa kucheza na