read
news & Articles
Tumepata Ushindi mnono mbele ya Geita Kirumba
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa CCM
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Geita Leo
Kocha Juma Mgunda, amewapanga nahodha, John Bocco na Moses Phiri kuongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi Geita Gold
Tunafungua mzunguko wa pili CCM Kirumba leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kufungua pazia la mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya NBC
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kirumba
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa CCM Kirumba tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita Gold
Maandalizi ya Geita Kesho yamekamilika
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita Gold utakaopigwa kesho saa 10 jioni Uwanja wa CCM
Tumepangwa Kundi C Mapinduzi Cup
Ratiba ya michuano ya Kombe la Mapinduzi ambayo hufanyika Visiwani Zanzibar imetoka na tumepangwa Kundi C ambalo litakuwa na timu tatu. Kila mwaka michuano