read
news & Articles

Timu yawasili salama Dar
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka Ndola; Zambia baada ya kucheza mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power

Robertinho: Tumepoteza nafasi tano za kufunga Leo
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumepoteza nafasi tano za wazi za kufunga katika sare ya 2-2 dhidi ya Power Dynamos ambazo zingetuwezesha kupata ushindi

Tumenza kwa sare ugenini dhidi ya Power Dynamos
Kikosi chetu kimepata sare ugenini ya mabao 2-2 dhidi ya Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika katika Uwanja wa

Kikosi Kitakacho tuwakilisha dhidi ya Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Levy Mwanawasa kuikabili Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Hii

Tunatupa karata yetu ya kwanza Ligi ya Mabingwa Leo
Kikosi chetu leo kitaanza kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kucheza na Power Dynamos katika mchezo utakaopigwa katka Uwanja wa Levy Mwanawasa, Ndola; Zambia.

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Levy Mwanawasa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Levy Mwanawasa tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Power Dynamos. Kwa