read
news & Articles
Kikosi cha Queens kitakachotuwakilisha dhidi ya Mkwawa Leo
Kikosi chetu cha Simba Queens leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Chuo cha Mkwawa Mjini Iringa kuikabili Mkwawa Queens katika muendelezo wa
Mo amkaribisha Robertinho, amuahidi ushirikiano mkubwa
Rais wa Heshima wa klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amemkaribisha Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ambapo amemuahidi kumpa ushirikiano mkubwa. Baada ya kuitembelea kambi Mjini
Mo awaeleza wachezaji nia yake Kombe la Afrika
Rais wa Heshima na Mwekezaji Mohamed Dewji ‘Mo’ amewaeleza wachezaji kuwa nia yake ni siku moja kuiona tunafanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa
Robertinho ataka straika mpya kikosini
Baada ya kufanya mazoezi na kikosi kwa siku mbili katika kambi tuliyoweka nchini Dubai Kocha Mkuu Oliveira Roberto ‘Robertinho’ amejiridhisha kuwa anahitaji mshambuliaji mwingine. Robertinho
Mgunda, Chama wang’ara NBC Desemba
Kocha Juma Mgunda amechaguliwa kocha bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu ya NBC huku Kiungo Mshambuliaji Clatous Chama akichaguliwa mchezaji bora. Kocha Mgunda ametuwezesha
Banda arejea kikosini, aanza mazoezi Dubai
Winga wa kimataifa kutoka Malawi, Peter Banda ameanza mazoezi mepesi leo baada ya kukaa nje kwa takribani miezi miwili akiuguza jeraha la mguu. Banda