read
news & Articles
Mangungu minne tena Simba
Murtaza Mangungu amefanikiwa kutetea kiti chake baada ya kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa klabu kwa muda wa miaka minne katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana. Mangungu
CEO Kajula aweka wazi mipango ya Utendaji wake
Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula ameweka wazi mipango ya Utendaji wake mbele ya wanachama katika Mkutano Mkuu baada ya kupewa jukumu hilo katikati
Try Again: Simba ya Mataji inakuja, Furaha inarudi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ amewaahidi wanachama, wapenzi na mashabiki kuwa kikosi kinaendelea kuboreshwa na mataji ambayo tuliyopoteza tutayarejesha. Try
Makala: Tusibeze Mafanikio tuliyopata Simba
Mgeni Rasmi wa Mkutano Mkuu wa Klabu ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amosi Makala amesema mafanikio tuliyopata katika kipindi cha
RC Makala awasili Mkutanoni
Mgeni Rasmi wa Mkutano wetu mkuu ambao utaanza muda mfupi ujao Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Amos Makala amewasili Ukumbi wa Mikutano
Mgunda: Tulitegemea Ushindani mkubwa kutoka kwa Coastal
Kocha Msaidizi, Juma Mgunda amesema kabla ya mchezo wetu wa hatua ya tatu ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Coastal Union tulitegemea kupata upinzani