read
news & Articles

Robertinho: Tupo tayari kwa Dodoma Jiji Kesho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji

VIDEO: Dk. Kagabo aelezea hali za majeruhi Inonga, Kramo
Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema hali za wachezaji wetu majeruhi mlinzi wa kati Henock Inonga na winga Aubin Kramo zinaendelea vizuri. Inonga amepata majeraha

Alichosema Robertinho baada ya ushindi dhidi ya Mtibwa
Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema anaendelea kufanya mabadiliko ya kikosi mara kwa mara ili wachezaji waendelee kuzoeana. Robertinho amesema katika mchezo wa leo dhidi

Tumeondoka na alama zote Manungu
Tumefanikiwa kupata alama zote tatu katika mchezo wetu wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 4-2 katika mtanange uliopigwa

Kikosi kilichopangwa kuikabili Mtibwa Sugar
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Manungu Complex saa 10 jioni kuikabili Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu

Leo tunaanza safari ya NBCPL 2023/24
Kikosi chetu leo kinaanza kampeni ya kuhakikisha tunapambana kwa kila hali kupata alama tatu katika Uwanja wa Manungu Complex. Leo tutakuwa wageni wa ‘Wakata Miwa’
