read
news & Articles

Highlights: Tazama mabao yote ushindi wa 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji
Tumefanikiwa kushindi mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uhuru, Dar es Salaam. Tazama hapa jinsi mabao yalivyofungwa

Robertinho: Tunaendelea kuwapa nafasi nyota wapya
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema nyota wapya tuliowasajili msimu huu wanazidi kupewa nafasi na wanaonyesha uwezo mkubwa ambapo wanaingia taratibu kikosini. Robertinho amesema wachezaji

Tumechukua pointi zote za Dodoma
Kikosi chetu kimefanikiwa kuondoka na pointi zote tatu baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu

Kikosi kilichopangwa dhidi ya Dodoma Jiji
Muda mchache ujao kikosi kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu,

Tuna kibarua cha pili Uhuru Leo
Saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC.

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena kujiandaa na Dodoma
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi
