read
news & Articles
Phiri aahidi makubwa baada ya kurejea uwanjani
Mshambuliaji kinara, Moses Phiri ameahidi kurejesha makali yake na kuendelea kufunga mabao baada ya kupona majeraha. Phiri amesema ushindani wa namba umekuwa mkubwa baada ya
Zimbwe Jr aelezea Maandalizi ya mchezo dhidi ya Singida Big Stars
Nahodha msaidizi, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Big Stars utakaopigwa Ijumaa Uwanja wa Benjamin
Shikangwa apiga manne Queens ikiichakaza Alliance Girls
Mshambuliaji Jentrix Shikangwa amefunga mabao yote manne katika ushindi wa 4-0 tuliopata dhidi ya Alliance Girls uliopigwa Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza. Jentrix alifunga mabao
Robertinho: Nimerudi na Hamasa kubwa
Kocha mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amerejea usiku wa kuamkia leo kutoka nchini Brazil akiwa na nguvu mpya pamoja na hamasa ya kazi. Robertinho amesema kwa
Timu kuingia kambini Kujiandaa na Singida Big Stars
Kikosi chetu leo kitaingia kambini baada ya mazoezi ya jioni kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Big Stars utakaopigiwa Uwanja
Saido, Kapombe, Zimbwe Jr wachuana mchezaji bora wa mashabiki
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kutafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Januari (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month).