read
news & Articles

Tunatoa basi la klabu kwa mashabiki kwenda Zambia
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema Menejimenti imetoa basi la timu kwa ajili ya mashabiki kwenda Zambia kuiunga mkono timu kwenye mchezo

Habari Picha: Mazoezi ya leo jioni Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi leo jioni kujiandaa na mchezo wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia

Ahsante Peter Banda
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuachana na Winga Peter Banda. Banda (23) alisajiliwa Agosti 3, mwaka 2021 kutoka Nyasa

Hizi hapa mechi zilizotupeleka makundi Afrika
Jana tumefahamu tutacheza na mabingwa wa Zambia Power Dynamos katika hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/24. Mechi ya kwanza itapigwa

Rasmi tutakutana na Power Dynamos hatua ya pili Ligi ya Mabingwa
Mabingwa wa Zambia, Power Dynamos tutakutana nao katika hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kufanikiwa kusonga mbele kwa kuitoa African Stars

Nyota wanne waliokipiga dakika 180
Tukiwa tumeanza Msimu Mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2023/24, mpaka sasa tumecheza mechi mbili na kushinda zote. Mchezo wa kwanza ulikuwa dhidi ya Mtibwa
