read
news & Articles

Waliokuwa Stars wajiunga na wenzao mazoezini
Nyota wanne ambao walisafiri na kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kuelekea Algeria leo wamejiunga na wenzao na kufanya mazoezi jioni. Nyota

Mchezo wetu dhidi ya Coastal kupigwa Septemba 21
Mchezo wetu wa Ligi ya NBC ambao ulikuwa haujapangiwa tarehe dhidi ya Coastal Union sasa utapigwa Septemba 21 katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam

Phiri: Kusafiri na Mashabiki kwenda Ndola kunatupa hamasa wachezaji
Mshambuliaji, Moses Phiri amesema kitendo cha mashabiki kusafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Ndola, Zambia itawapa wachezaji hamasa kuelekea mchezo wa Jumamosi wa Ligi

Tumepata ushindi dhidi ya Ngome
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Ngome katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Mo Simba Arena. Moses Phiri

Waziri Mkuu Majaliwa atupongeza Bungeni kwa ajili ya michuano ya AFL
Waziri Mkuu, Mh. Kassim Majaliwa ametupongeza kuwa miongoni mwa klabu nane zitakazoshiriki michuano mipya ya African Football League (AFL) ambayo itaanza Oktoba 20. Mh. Majaliwa

Hongera Taifa Stars
Timu yetu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imefanikiwa kufuzu fainali za Afrika (AFCON) baada ya kupata sare ya bila kufungana na Algeria katika mchezo
